Kirjojen hintavertailu. Mukana 11 342 296 kirjaa ja 12 kauppaa.

Kirjahaku

Etsi kirjoja tekijän nimen, kirjan nimen tai ISBN:n perusteella.

1000 tulosta hakusanalla Mohammed Ghassani

N'Na Kwetu

N'Na Kwetu

Mohammed Ghassani

Lulu Press Inc
2021
pokkari
DIWANI hii ya N'na Kwetu: Sauti ya Mgeni Ugenini ilishinda kwenye awamu ya kwanza ya Tuzo za Fasihi ya Afrika kwa Lugha ya Kiswahili inayotolewa na Wakfu wa Mabati-Cornell mwaka 2015. Tungo nyingi zilizomo humu ziliandikwa baina ya robo ya mwisho ya mwaka 2010 na nusu ya mwanzo ya mwaka 2015. Hii ni miaka mitano ya mwanzo ya mshairi kuhamia na kuishi nchini Ujerumani - mbali na nyumbani kwao, Zanzibar. Ndani yake, kwa hivyo, muna muakisiko wa hisia za mgeni ugenini, akitayamani mengi mazuri ya kwao na akijutia kuyaacha nyuma yake. Ukweli ni kuwa wakati mtu anapoishi ugenini, ndipo hasa ile thamani ya kwao anapoitambua na kutaka kujitambulisha nayo zaidi na zaidi. Ndipo hisia za kutambuwa kuwa ana kwao zinapopanda kiwango cha juu. Kutoka kipembe cha mbali, Mohammed Ghassanani anakuangalia kwao na kuyaona mambo ambayo alipokuwamo ndani yake, alikuwa hata hajui kama yapo. Chembilecho Wajapani: "Samaki hajijui kuwa amerowa " Na sababu ya kutokujijuwa huko, kwa hakika, ni kwa kuwa yeye mwenyewe anaishi ndani ya maji muda wote.
Siwachi Kusema

Siwachi Kusema

Mohammed Ghassani

Lulu Press Inc
2021
pokkari
SIWACHI KUSEMA: Uhuru U Kifungoni ni diwani ya pili kuchapishwa na mshairi wa Kiswahili, Mohammed Khelef Ghassani, aliyezaliwa na kukulia Zanzibar na ambaye anaishi na kufanya kazi nchini Ujerumani.
Andamo

Andamo

Mohammed Ghassani

Lulu Press Inc
2021
pokkari
ANDAMO: Msafiri Safarini ni diwani ya kwanza kuchapishwa na mshairi wa Kiswahili, Mohammed Khelef Ghassani, mzawa wa Zanzibar anayeishi na kufanya kazi nchini Ujerumani. Ndani yake ni muakisiko wa safari yake ya ukuwaji baina ya muongo wa mwisho wa 1990 na muongo wa kwanza wa 2000. Kuisoma diwani hii ni kuyasoma maisha yake na yale yaliyomuandama, naye kuyaandama katika umri huo.
Simulizi Za Bi Time

Simulizi Za Bi Time

Mohammed Ghassani

Lulu Press Inc
2021
pokkari
Huu ni mkusanyiko wa hadithi za paukwa-pakawa zinazosimuliwa katika jamii za Waswahili wa visiwa vya Zanzibar kama ambavyo mwandishi anazikumbuka. Huenda usimulizi wa upande mmoja wa jamii ya Waswahili ukatafautiana na wa jamii nyengine, lakini kwa kuwa wenyewe husema "Hadithi ina ncha saba", basi hii ni moja kati ya ncha hizo.
Machozi Yamenishiya

Machozi Yamenishiya

Mohammed Khelef Ghassani

Mkuki na Nyota Publishers
2019
pokkari
Mateso, maumivu na siasa ni mambo yaliyojaa uchochezi mkali unaomsukuma mshairi kuzungumza waziwazi na kinagaubaga na hatimaye kumfanya mwandishi apandwe na jazba zinazofanya kazi fulani itoke nje ya kingo za ulingo wa kisanaa. Katika hali kama hii mshairi lazima atunge wimbo unaoimbika ndani ya nafsi yake mwenyewe kwanza, wimbo utakaomwezesha kunyanyuka kitandani asubuhi huku akijua hayuko pweke, ana wenzake wenye maumivu kama au kuliko yake. Mohammed Khelef Ghassani ana weledi huu wa kubaki ndani ya kingo za ulingo wa kisanaa, weledi wa kuichenga siasa kwa namna ya kuipa nguvu kubwa zinazoficha na kuzimua unagaubaga na hata ukali wake.
Diverse Contemporary Issues Facing Business Management Education

Diverse Contemporary Issues Facing Business Management Education

Mohammad Ayub Khan; Salvador Treviño-Martínez; Ghassan Al-Qaimari; Silvia Lizett Olivares Olivares

Idea Group,U.S.
2014
sidottu
In today’s society, it is not only desirable but essential for a business to take on a global edge. The best way to ensure a successful future is to educate business students about global policies currently at play.Diverse Contemporary Issues Facing Business Management Education discusses the issues that are facing both large and small corporations and the students who are seeking employment there. Questioning not only what changes globalization has brought to the business world, but what ways our education system will have to change to keep up, this book is an essential reference source for business owners, educators, students, or anyone interested in the future globalization of the business market.
Mohammed

Mohammed

Tor Andrae

Routledge
2007
sidottu
Originally published in 1936. This volume discusses the Islamic faith in the perspective of the ancient Arabian monotheism and its similarities with Christianity and Judaism. The similarities not only in dogma, but also in the ritual of Nestorian Christianity are discussed as well as an interpretation of Mohammed’s religious personality.