Kirjojen hintavertailu. Mukana 12 554 209 kirjaa ja 12 kauppaa.

Kirjailija

Ludovick Simon Mwijage

Kirjat ja teokset yhdessä paikassa: 3 kirjaa, julkaisuja vuosilta 2015-2023, suosituimpien joukossa Of Magic and Mutiny. Vertaile teosten hintoja ja tarkista saatavuus suomalaisista kirjakaupoista.

3 kirjaa

Kirjojen julkaisuhaarukka 2015-2023.

Barabara ya Tanzania Kwenda Damascus

Barabara ya Tanzania Kwenda Damascus

Ludovick Simon Mwijage

Ludovick Simon Mwijage
2023
sidottu
Baada ya Vita Vikuu kumalizika 1918 Ujerumani iliachia miliki zake za nje, ikiwemo miliki yake ya Afrika Mashariki, kwa umoja wa mataifa makuu na mamlaka-shiriki (Principal Allied and Associated Powers) yaliyoshinda vita. Kutokana na mabadiliko hayo, Uingereza ilikubali wajibu wa kimataifa wa kusimamia sehemu kubwa ya miliki ya Kijerumani ya Afrika Mashariki; ambayo baadaye iliitwa Jimbo la Tanganyika (Tanganyika Territory); hadi hapo wenyeji wa Jimbo wagekuwa tayari kujisimamia wenyewe. Kwa miongo minne, Uingereza ilitekeleza wajibu huo kulingana na uwezo wake hadi Jimbo lilipojitawala Desemba 9, 1961.Usultani wa Zanzibar, ambao pia ulikuwa chini ya Waingereza ingawa kwa utaratibu mwingine, ulijitawala Desemba 10, 1963. Mwezi mmoja baadaye, Januari 12, 1964, yalitokea mapinduzi ya kimbari nchini humo yaliyoiondoa madarakani serikali mpya kwa nguvu na kufuta taasisi ya kisiasa na kijamii ya usultani wa kikatiba. Zanzibar na Tanganyika ziliungana Aprili 26 mwaka huo na hivyo kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lakini muungano huu siyo shwari, na misingi ya kiutawala iliyounda taifa jipya la Tanzania haikukidhi viwango vya kimataifa vinavyokubalika. Katika sehemu nne, kazi hii inajadili kilichojili tangu utawala wa kigeni hadi kujitawala na pia kutathmini njia taifa hili iliyochukua kuelekea mabadiliko ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kimaendeleo na kiutamaduni.
Of Magic and Mutiny

Of Magic and Mutiny

Ludovick Simon Mwijage

Ludovick Simon Mwijage
2018
sidottu
Of Magic and Mutiny delves fictionally but accurately and deeply into the incredibly incompetent handling of the independence of African states following the demise of colonialism.The setting of this thought-provoking and highly dramatic novel is Kanyinya, an imaginary yet typical African state where a bloody revolution led by an ex-stevedore replaces an autocratic, post-independence regime.The revolutonaries misappropriate the nation's wealth and natural resources from the people through murder and even genocide, whilst begging aid from the West, which ultimately lines the individual pockets of the leaders of the revolution.In addition to giving a detailed account of what is currently happening in Africa, this novel offers some possible solutions which would reverse these appalling problems.The Social, economic and political issues raised have wide implications for both the African and international communities.